Hatma ya mali za Urusi zilizozuiwa kujulikana Desemba 18
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-06 20:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe, Ukraine/Russia, Germany
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hayo ni kwa zingatio la mazungumzo kati ya Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz, Waziri Mkuu wa Ubelgiji Bart De Wever na Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen mjini Brussels siku ya Ijumaa. Merz kwa mara nyingine alimuhakikishia De Wever kwamba hatari zinazotokana na kuruhusu mali zilizodhibitwa chini ya vikwazo vya Umoja wa Ulaya, ambazo nyingi zinashikiliwa na Ubelgiji, zitagawanywa kwa usawa kati ya nchi wanachama.
--------------------------------------------------------------------