Israel: Mabaki tuliyokabidhiwa na Hamas sio ya mateka wetu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-03 21:39 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu imesema imefikia uamuzi huo kufuatia uchunguzi wa vinasaba uliofanwa kwa mabaki hayo. Taarifa hizo zilitolewa kwa Jamaa wa mateka wawili waliouawa ambao miili yao bado ipo katika Ukanda wa Gaza.
--------------------------------------------------------------------