Kansela Merz wa Ujerumani kuanza ziara tete nchini Israel

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-06 20:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, Germany, International Orgs
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jumapili hii, Merz atakuwa mgeni wa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Kansela mwenyewe amekuwa akigusia kufanya mazungumzo ya kina ya simu na Netanyahu katika kauli zake, iwe ni kuhusu hali ya jumla ya Mashariki ya Kati, mgogoro wa kibinadamu huko Gaza, au vita vya siku 12 kati ya Israel na Iran.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]