Wanamgambo waua watu 50 wakiwemo watoto 33 Sudan
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-06 20:35 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa shirika la wahudumu wa afya waliokuwa eneo la tukio katika mji wa Kalogi, jimbo la Kordofan Kusini, walilengwa katika shambulio hilo la pili ambalo halikutarajiwa. Idadi ya vifo inatarajiwa kuongezeka, lakini kukatika kwa mawasiliano katika eneo hilo kumeifanya iwe vigumu kuripoti majeruhi. Shambulio la Alhamisi ni la hivi karibuni katika mapigano kati ya kikundi cha wanamgambo wa RSF na jeshi la Sudan, ambao wamekuwa vitani kwa zaidi ya miaka miwili.
--------------------------------------------------------------------