Polisi Tanzania yapiga marufuku Maandamano ya Desemba 9

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-07 00:34 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika Taarifa yake Msemaji wa Polisi nchini humo David Misime amesema maafisa wameona miito ya kufanyika maandamano katika mitandao ya kijamii lakini akasisitiza kuwa hadi sasa hakuna hata mtu mmoja aliyetoa taarifa rasmi kwa polisi kuhusu kufanyika maandamano hayo. Haya yanajiri wakati matukio yanayoendelea Tanzania yakisababisha Marekani kusema inatathimini upya mahusiano yake na Tanzania kufuatia kile ilichosema ni kubinya uhuru wa watu kujieleza na uhuru wa kidini.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]