Misri yahimiza kupelekwa kwa kikosi cha ulinzi wa amani Gaza

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-07 00:40 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Badr Abdelatty, leo hii ametoa wito wa kuharakisha kupelekwa kwa kikosi cha kimataifa cha kufuatiliaWaziri huo ametoa onyo hilo akisema wanahitaji kukipeleka haraka iwezekanavyo kikosi hicho kwa sababu upande mmoja, ambao ni Israel, kila siku unakiuka usitishaji wa mapigano, kwa hiyo wanahitaji waangalizi.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]