Watu 11 wauawa kwa kupigwa risasi katika baa Afrika Kusini

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-07 01:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa taarifa ya polisi nchini humo watu wengine 14 walijeruhiwa na kupelekwa hospitali wakiwa na majeraha ya risasi. Shambulio hilo lilitokea leo mapema katika baa isiyo na leseni katika kitongoji cha Saulsville, magharibi mwa Pretoria.Wakati polisi ikiendelea kuwatafuta washukiwa, imetaja umri wa watoto waliouawa kuwa ni mvulana mwenye umri wa miaka 3, mwingine wa 12 na msichana wa miaka 16.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]