Marekani yatia saini mkataba mpya wa afya na Rwanda na Kenya

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-07 22:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Health, Africa, World News, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Marekani na Rwanda zimetiliana saini mkataba wa miaka mitano wa thamani ya dola milioni 228 kwa ajili ya sekta ya afya katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema, makubaliano haya ni ya pili kutiwa saini chini ya utawala wa Rais Donald Trump yanayohusu mbinu mpya ya misaada ya nje ya nchi ("America First Global Health Strategy".)
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]