Mashambulizi ya droni yauwa makumi ya watu Sudan
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-07 21:36 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Essam al-Din al-Sayed, mkuu wa kitengo cha utawala cha Kalogi, ameiambia AFP kwamba shambulizi hilo lililotokea siku ya Alhamisi, lilihusisha matukio matatu kwanza shambulizi dhidi ya shule ya chekechea, kisha hospitali na la tatu dhidi ya watu waliokuwa wakijaribu kuwaokoa watoto wao.
--------------------------------------------------------------------