Mamlaka ya Benin yazima jaribio la mapinduzi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-08 13:36 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hali ilikuwa ya wasiwasi siku ya Jumapili katika mji mkuu wa kibiashara wa Benin - Cotonou, baada ya milio kadhaa ya risasi kusikika na kundi la wanajeshi kutangaza kwenye televisheni ya taifa kumpindua rais Patrice Talon anayemaliza hapo mwakani (2026) muda wake wa miaka 10 madarakani. Wanajeshi hao walitangaza pia kuifunga mipaka ya nchi hiyo na kumteua Luteni Kanali Pascal Tigri kuwa rais wa kile walichokiita " tume ya mageuzi ya kijeshi."
--------------------------------------------------------------------