Mapigano makali yaendelea kushuhudiwa huko Uvira
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-08 14:43 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika la Msalaba Mwekundu limesema kuwa raia wapatao 20 wakiwemo watoto wamejeruhiwa. Aidha, takriban wanajeshi 20 wa Burundi wameripotiwa kuuawa kwenye mapigano hayo tangu yalipozuka upya Jumatatu iliyopita. Hata hivyo, vyanzo kadhaa vya kijeshi vimeeleza kuwa kwa sasa wanajeshi wa Burundi wamewadhibiti waasi wa M23 na kuwasababishia pia hasara.
--------------------------------------------------------------------