TZ: Niffer na Chavala wafutiwa mashtaka ya uhaini

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-04 03:54 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amewafutia mashtaka ya uhaini na uchochezi mfanyabiashara Jennifer Jovin, maarufu Niffer, na mwanaharakati Mika Chavala, waliokamatwa kabla na wakati wa vurugu za Oktoba 29 zilizoambatana na uchaguzi mkuu.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]