Mapigano yaendelea Kongo licha makubaliano ya amani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-08 23:08 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mashahidi wanasema mabomu hayo yalilipuliwa kufuatia hali ya kutoelewana kati ya askari wa Kongo waliokuwa na hasira baada ya mapambano makali ya mchana dhidi ya AFC/M23 katika maeneo ya Bwegera na Luberizi, Mashariki mwa Kongo.
--------------------------------------------------------------------