Daktari nchini Tanzania akiri miili kuchukuliwa hospitalini
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-09 02:36 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Daktari huyo mwandamizi kutoka hospitali kubwa jijini Dar es Salaam, aliyezungumza na shirika la habari la AFP kwa sharti la kutotambulishwa amesema waliagizwa kutosema chochote na simu zao zilichukuliwa na kuchunguzwa kama zilikuwa na picha ama video yoyote.
--------------------------------------------------------------------