Tshisekedi amshutumu Kagame kuwaunga mkono waasi wa M23
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-09 03:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Majira ya saba mchana,kwa saa za Kinshasa, mbele ya mabunge yote mawili yaliyokutana kwa pamoja, Félix Tshisekedi alitoa hotuba yake ya kila mwaka kuhusu hali ya taifa. Hotuba iliyoelezwa kuwa ya muhimu sana, hasa wakati ambapo mapigano mashariki yamechachamaa tena, na waasi wanasogea kwa kasi kuelekea Uvira.
--------------------------------------------------------------------