Kikosi kipya cha Kenya chenye Polisi 230 chawasili Haiti
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-09 14:12 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa kikosi hicho Jack Ombaka ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa kikosi hicho kimeimarishwa kuanzia mwezi Februari mwaka huu na kwamba kwa sasa kina jumla ya mafisa wapatao 980 huku idadi iliyokuwa ikitarajiwa awali ikiwa ni maafisa 2,500.
--------------------------------------------------------------------