M23 yakaribia Uvira, wanajeshi wa Kongo wakimbilia Burundi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-09 14:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Taarifa zinaeleza kuwa mamia ya wanajeshi wa Burundi na Kongo wamelazimika kukimbilia nchini Burundi. Wizara ya mambo ya nje ya Burundi imelaani kile ilichokiita uchokozi wa Rwanda, kwa kudai kuwa Kigali ilifanya mashambulizi ya makombora Jumatatu usiku karibu na mkoa wa Cibitoke na kuwajeruhi watu wawili, akiwemo mtoto mwenye umri wa miaka 12.
--------------------------------------------------------------------