RSF: Waandishi wa habari 67 waliuawa miezi 12 iliyopita
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-09 21:30 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na Shirika la haki za waandishi wa habari wasio na mipaka (RSF) leo Jumanne, takwimu hizi za kati ya mwanzo wa Disemba 2024 hadi mwanzo wa Disemba mwaka huu zinalinganishwa na kipindi cha miezi 12 iliyotangulia.
--------------------------------------------------------------------