Kiongozi wa wanamgambo wa Janjaweed afungwa miaka 20 jela
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-10 02:44 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Muhammad Ali Abd-Al-Rahman mwenye umri wa miaka 76, alisimama kimya bila kuonyesha hisia wakati Jaji Mkuu Joanna Korner akisoma hukumu. Alihukumiwa miaka kati ya minane na 20 kwa kila kosa, kabla ya mahakama kutoa adhabu ya jumla ya miaka 20.
--------------------------------------------------------------------