Waasi wa M23 wachukua udhibiti wa mji wa Uvira

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-10 14:57 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kumeripotiwa mapigano makali na miripuko ya mabomu jana usiku kabla ya waasi wa M23 kufanikiwa hatimaye kuingia na kuchukua udhibiti wa mji wa kimkakati wa mashariki mwa DRC wa Uvira na kusababisha hali ya hofu iliyopelekea maelfu ya raia wa Kongo kukimbilia katika nchi jirani ya Burundi. Hata hivyo baadhi ya mashuhuda wamesema kuwa mapigano yalikuwa yakiendelea katika baadhi ya maeneo ya mji huo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]