Wasiwasi na taharuki vimetanda mjini Uvira DRC

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-10 21:28 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hali ya wasiwasi na taharuki vimetanda katika mji wa Uvira, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo, kufuatia mapigano kati ya waasi wa AFC/M23, wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, dhidi ya jeshi la Kongo linalosaidiwa na jeshi la Burundi na wapiganaji wa kujitolea wa kundi la Wazalendo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]