Ajali ya mto yaua watu 22 Indonesia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-11 00:11 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Tukio hilo lilitokea Jumanne katika jengo la ghorofa saba lililoko eneo la Kemayoran, katikati ya Jakarta. Moto ulianza kwenye ghorofa ya kwanza na kusambaa haraka hadi ghorofa za juu, huku moshi mzito ukipaa angani na kuleta taharuki kwa wakazi na wafanyakazi waliokuwa karibu.
--------------------------------------------------------------------