Heglig yazua mvutano mpya Sudan na Sudan Kusini
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-11 21:46 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa shirika la utangazaji la taifa la Sudan Kusini (SBC) jeshi la Sudan Kusini lilipeleka wanajeshi wake baada ya wanamgambo wa RSF kuteka eneo la Heglig lililopo mpakani ambako vipo vitalu vikubwa kabisa vya mafuta nchini Sudan pamoja na miundombinu ya kuchakata mafuta ghafi ynayotoka Sudan Kusini.
--------------------------------------------------------------------