Rwanda: Serikali ya Kongo ilaumiwe kukamatwa mji wa Uvira
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-11 22:03 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Rwanda Olivier Nduhungirehe amesema kitendo cha jeshi la Kongo na wanamgambo wanaoliunga mkono maarufu kama Wazalendo kuendelea kuzishambulia ngome za waasi na waasi hao kujibu mashambulizi kwa kuyakamata maeneo zaidi, kinaufanya mzozo huo kuwa na utata zaidi.
--------------------------------------------------------------------