IMLU: Watu 97 waliuliwa kiholela Kenya
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-11 23:35 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kulingana na IMLU, zaidi ya watu watatu kati ya watano waliuawa kwa kupigwa risasi za mgongoni na polisi wakati wakijaribu kujinusuru na kutetea uhai wao. Uchambuzi wa IMLU unaonyesha kuwa katika matukio mengi, wahanga hawakuwa tishio, walikuwa wakikimbia.
--------------------------------------------------------------------