Cambodia na Thailand zashutumiana kwa mashambulizi mpakani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-12 02:31 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Makabiliano makali ya wiki hii kati ya Thailand na Cambodia yameingia katika siku ya nne. Yaliibuka Jumapili kwa mara ya kwanza tangu nchi hizo zilipokubali kuweka silaha chini mwezi Julai baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuingilia kati. Trump aliahidi kuzungumza Alhamisi na viongozi wa pande hizo ili kusitisha tena mapigano.
--------------------------------------------------------------------