'Dunia iko hatarini' miaka 10 baada ya Mkataba wa Paris

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-12 21:46 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Martin Kaiser, mkuu wa taasisi ya mazingira ya Greenpeace ya Ujerumani, ameliambia shirika la habari la DPA mjini Paris kwamba Mkataba wa Paris umeendelea kuwa dira ya sera za kimataifa kuhusu hali ya hewa, lakini akasema utaendelea kuwa muhimu ikiwa mataifa makubwa na hasa ya kundi la G20 yatapunguza pengo kati ya matarajio na utekelezaji wake.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]