Rais Tshisekedi afanya kikao cha dharura cha usalama DRC
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-12 23:55 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hali inasalia kuwa tete. Maelfu ya familia ziko njiani, bila uhakika wa kesho yao.Wakati huo huo, viongozi nchini Kongo na katika eneo zima wanaendelea kutafuta suluhu ya kudumu katika mgogoro unaozidi kupanuka baada ya mji wa Uvira kuangukia mikononi mwa waasi. Patrick Muyaya ni waziri wa mawasiliano na msemaji wa serikali mjini Kinshasa:
--------------------------------------------------------------------