Thailand yalivunja Bunge kujiandaa na Uchaguzi Mkuu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-13 02:05 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri Mkuu huyo Anutin Charnvirakul amelivunja Baraza la Wawakilishi baada ya kupewa idhini na Mfalme Maha Vajiralongkorn. Charnvirakul tayari alikuwa ameshaonesha dalili ya kuvunjwa bunge hilo kupitia posti yake katika mtandao wa kijamii wa Facebook, akisema angelipenda kurejea madaraka kwa watu wa Thailand.
--------------------------------------------------------------------