Mvutano mpya Yemen watishia Ghuba ya Arabuni

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-13 02:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kundi la wanamgambo wanaotaka kujitenga linaloungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu, limechukua udhibiti wa sehemu kubwa ya majimbo ya Hadhramaut na Mahra, vikiwemo vituo vya mafuta na bandari muhimu. Hatua hii imevunja utulivu wa muda uliokuwepo tangu 2022, baada ya pande zinazopigana kufikia makubaliano ya kusitisha vita nchini Yemen.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]