Mahakama ya Urusi yawahukumu vifungo maafisa wa ICC
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-13 02:37 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, International Orgs
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC Karim Khan amehukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani, ambapo miaka tisa ataitumikia gerezani na iliyosalia mahali wanapoadhibiwa wahalifu wakubwa, hii ikiwa ni kulingana na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Urusi hii leo.
--------------------------------------------------------------------