WFP kupunguza mgawo wa chakula Sudan kuanzia Januari 2026
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-13 02:24 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mkurugenzi wa masuala ya Dharura wa WFP Ross Smith amewaambia waandishi wa habari nchini Geneva leo Ijumaa kwamba kuanzia mwezi Januari watapunguza mgawo kwa asilimia 70 kwa jamii zenye njaa na asilimia 50 kwa wale wanaokabiliwa na kitisho cha njaa.
--------------------------------------------------------------------