Eritrea yakatiza uanachama wake wa IGAD
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-14 02:08 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika taarifa yake, wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo imesema Eritrea imejiondoa kutoka kwenye jumuiya ya IGAD kwa sababu imeona kuwa jumuiya hiyo imepoteza jukumu na mamlaka yake ya kisheria, kutokuwa na faida yoyote ya kimkakati kwa wanachama wake na pia kushindwa kuchangia kikamilifu kwa utulivu wa eneo hilo.
--------------------------------------------------------------------