Hamas yatetea umiliki wa silaha chini ya usitishaji mapigano
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-14 23:37 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kiongozi wa Hamas Khalil al-Hayya, amesema kundi hilo lina haki halali ya kumiliki silaha. Alisisitiza kuwa haki hiyo inapaswa kulindwa katika awamu zijazo za makubaliano ya usitishaji mapigano Gaza.
--------------------------------------------------------------------