Australia yatangaza shambulio la Bondi Beach kuwa la kigaidi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-15 01:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Australia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Watu wasiopungua 12 wameuawa na karibu 30 kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kufyatua risasi katika tukio la sikukuu ya Kiyahudi ya Hanukkah kwenye ufukwe wa Bondi Beach mjini Sydney. Polisi nchini Australia wamelitaja tukio hilo kuwa shambulio la kigaidi lililolenga raia.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]