Kundi la Hamas lasisitiza lina haki ya kumiliki silaha
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-15 02:32 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Khalil ameyasema hayo saa kadhaa baada ya Israel kumuuwa mkuu wa idara ya utengenezaji wa silaha wa Hamas Raed Saed katika ukanda wa Gaza. Kamanda huyo ni kiongozi wa juu wa kwanza wa kundi hilo kuuawa na Israel tangu makubaliano ya kusitisha vita yalipoanza kutekelezwa mwezi Oktoba.
--------------------------------------------------------------------