ECOWAS yatishia vikwazo kutokana na mapinduzi Guinea-Bissau
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-15 21:44 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kauli hiyo imetolewa Jumapili baada ya mkutano wa wakuu wa nchi wa jumuiya hiyo uliofanyika mjini Abuja-Nigeria, kufuatia mapinduzi ya mwezi uliopita nchini Guinea-Bissau. Rais wa Tume ya ECOWAS, Omar Alieu Touray, amesema kuna vikwazo makhsusi vitawekwa dhidi ya yeyote atakayehujumu mchakato huo wa mpito na kwamba jumuiya hiyo haitavumilia kurudishwa nyuma kwa demokrasia katika eneo hilo.
--------------------------------------------------------------------