Raia 500 wa Burundi warejea salama nchini mwao kutoka Uvira
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-15 21:50 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wanajeshi wa Burundi chini ya ulinzi mkali, wamewapokea watu hao waliowasili kupitia mpaka wa Kavimvira. Aidha, kundi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda limetowa wito kwa askari wote wa Burundi ambao bado wako kwenye ardhi ya Kongo kurejea nchini mwao, likitaja kuwa mamia ya askari wa Burundi wamekamatwa katika mapigano ya hivi majuzi huko Kivu Kusini na kuwa wako salama, na watarejeshwa nchini mwao ikiwa serikali ya Burundi itafanya ombi la kurejea kwao kwa kufuata sheria za kimataifa.
--------------------------------------------------------------------