Australia kuweka sheria kali zaidi ya umiliki wa silaha

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-15 21:58 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Australia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Washambuliaji waliwauwa watu 15 kwenye Ufukwe wa Bondi mjini Sydney wakati wakiadhimisha sikukuu ya Kiyahudi ya Hannukah. Washambuliaji walikuwa baba na mwanawe wa kiume. Baba mwenye umri wa miaka 50 aliuawa kwenye eneo la tukio baada ya kupigwa risasi na polisi, huku mwanawe mwenye umri wa miaka 24 akitiwa nguvuni baada ya kujeruhiwa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]