AFC/M23 yawataka wanajeshi wa Burundi kurejea nchini mwao

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 00:10 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika mkutano na waandishi wa habari mjini Bukavu, gavana wa Kivu Kusini chini ya AFC/M23, Patrick Busu Bwa Ngwi, amethibitisha kuwa mamia ya askari wa Burundi wamekamatwa katika mapigano ya hivi majuzi huko Kivu Kusini na kuwa wako salama, na kwamba watarejeshwa nchini mwao kwa mujibu wa sheria za kimataifa za kibinadamu, mradi tu serikali ya Burundi ifanye ombi la kurejea kwao kwa kufuata sheria za kimataifa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]