Hakuna ruhusa ya kufanya maandamano yoyote Kongo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 01:43 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akitoa agizo la kutofanyika maandamano katika eneo zima la mji wa kinshasa, gavana Daniel Bumba amesema kuwa hayo yanatokana na sababu za kiusalama haswa wakati huu taifa likiwa kwenye hatari.
--------------------------------------------------------------------