Takriban watu 37 wafariki kutokana na mafuriko Morocco

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 02:18 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mamlaka imesema mvua kubwa ya usiku kucha ilisababisba mafuriko yaliosomba takriban nyumba 70 na biashara pamoja na magari 10. Mvua hiyo pia ilisababisha mafuriko na uharibifu katika maeneo mengine nchini humo ikiwa ni pamoja na mji wa Kaskazini wa Tetouan na ule wa milima wa Tinghir.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]