Ipi sababu ya mapinduzi ya mara kwa mara barani Afrika?
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 02:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mapinduzi mara mbili na jaribio moja lililoshindikana katika kipindi cha wiki nane, mwelekeo huu wa hivi karibuni ni mpya katika historia ya bara la Afrika. Mnamo Oktoba, jeshi nchini Madagascar lilimwondoa Rais wan chi hiyo baada ya wiki kadhaa za maandamano na mnamo mwezi Novemba, wanajeshi nchini Guinea-Bissau walimwondoa mkuu wa nchi muda mfupi baada ya kile walichokiona kuwa uchaguzi uliokuwa na udanganyifu.
--------------------------------------------------------------------