Ukosefu wa maji Dar es Salaam watia wasiwasi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 01:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ingawa mamlaka nchini humo zinasema zimeanza kuchukua hatua za haraka kunusuru hali hiyo hata hivyo baadhi ya wananchi wanasema bado wanaendelea kupitia wakati mgumu kusaka huduma huyo muhimu. Kilio cha ukosefu wa hudiuma ya maji ni kilio kinachoenekena kugeuka donda ndugu hasa inapojitokeza miezi ya kuanzia Oktoba kuelekea Disemba.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]