Morocco: Idadi ya vifo kufuatia mafuriko yaongezeka
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 02:44 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mamlaka zimesema watu zaidi ya 30 wamejeruhiwa huku 14 wakiwa wanapatiwa matibabu katika hospitali ya Mohammed V huko Safi, na kwamba wawili wapo katika hali mahututi. Nyumba zipatazo 70 kwenye mji huo wa kihistoria wa Safi ulio umbali wa zaidi ya kilometa 300 kusini mwa mji mkuu Rabat zimeharibiwa vibaya.
--------------------------------------------------------------------