UN: Kupunguzwa misaada kumesababisha mateso kwa wakimbizi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 02:52 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wakimbizi wanaonekana kupuuzwa huku mateso yao yakitumiwa vibaya na magenge haramu na wanasiasa. Hayo yamesemwa hivi leo na Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi anayemaliza muda wake Filippo Grandi aliyeitaja hatua hiyo kuwa ya kutowajibika na kusisitiza kuwa mwaka huu umeshuhudia wimbi la migogoro iliyowalazimisha watu wengi kuyahama makazi yao, idadi iliyokadiriwa kuwa watu milioni 117.3 katikati ya mwaka huu wa 2025.
--------------------------------------------------------------------