M23 yawataka raia wa DRC waliokimbia warejee nchini mwao

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 02:58 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa kundi hilo linaloungwa mkono na Rwanda amesema: "Kila kitu kinaendelea vizuri huko Uvira. Tunatoa wito kwa raia wenzetu ambao bado wako nje ya nchi, kwa mfano Burundi au katika maeneo mengine, waweze kurudi nyumbani, kwani maisha yamerejea kama kawaida na usalama unahakikishwa na AFC/M23."
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]