Thailand : Lazima Cambodia iwe ya kwanza kusitisha mapigano
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 22:00 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Thailand Maratee Nalita Andamo, amewaambia waandishi wa habari mjini Bangkok kwamba kama mwanzilishi wa vurugu hizo katika ardhi ya Thailand, lazima Cambodia iwe ya kwanza kutangaza amani.
--------------------------------------------------------------------