Bunge la Zambia lapitisha mswaada wa sheria za uchaguzi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 22:00 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Baada ya kura hiyo iliyoungwa mkono na wabunge 131 na kupingwa na wawili, waziri wa sheria Princess Kasune alisema kuwa hayo ni maagano na watu wa Zambia katika juhudi za kukuza haki.
--------------------------------------------------------------------