Waasi wa AFC/M23 wasema wako tayari kuondoka Uvira

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-16 21:43 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika taarifa yake iliyochapishwa usiku wa kuamkia leo, kundi la AFC/M23 limetangaza kwamba litaondoa vikosi vyake kutoka mji wa Uvira, kuitikia ombi la Marekani. Viongozi wa AFC/M23 wanadai kwamba uamuzi huo ni mojawapo ya hatua za kujenga imani katika kuunga mkono mchakato wa amani wa mjini Doha, Qatar.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]